[Intro : Zuchu] Haya haya Haya haya Oh oh Haya haya Haya haya [Zuchu] Yani mara kuma ungekua mbaya Halafu ungekua na hela Lakini tatizo lako mbaya Halafu hauna hela Ni mara kumi ungekua kijusu Halafu ungekua na hela Ila attizzo lako kijuso halafu hauna hela [Zuchu] Ah, sa mbona unapata tabu kujichubua Tako huna unafosi kujibinua Baby wangu hajadata na chura ka hujajua Kadata na mambo matamu nayomgea Nkwambie wewe Kwa uzuri hujanzidi mimii Kwa utamu hujanzidi shoga yangu Kwa uzuri hujanzidi mimii Kwa utamu hujanzidi shoga yangu [D Voice] Na huyo baby wako alikuwa wa kwangu Kabla ya kuwa wa kwako Hauniambi kitu kuhusu yeye Hata kulala alilala kwangu Kabla ya kulala kwako Kwahiyo unitishi mbwa wewe Oya weeh, hakuna udichonizidi cha kunipa stress We nyota yako ya kuni mie mwenzako ya gesi Mwenzako uzuri wako natural sio wako wa kufeki Mwana mwenzangu una rangi nyingi ka combatí ya jeshi [D Voice] Sa mbona unapata tabu kujichubua Tako huna unafosi kujibinua Baby wangu hajadata na chura ka hujajua Kadata na mambo matamu nayomgea Nkwambie wewe Kwa uzuri hujanzidi mimii Kwa utamu hujanzidi shoga yangu [Zuchu] Ooh kwa uzuri hujanzidi mimii Ai udugu we kwa utamu Hujanzidi shoga yangu Haunitishi hunisumbui, hujanzidi mimi Jiangalie kuvaa hujui, hujanzidi shoga yangu [Zuchu] Aii, Hapo kwanza ncheke Wanangu baado sijasikia shangwe Kama umeme umerudi (Wooo) Masela baado sijaskia shangwe Kama umeme umerudi (Woo) Aii mara tеna umekataa (Aah) Mama, mara tena umerudi (Wuoo) Wеwe mara tena umekataa (Aah) Twende show me gidi gidi gidi Baby gidi gidi gidi Twende gidi-gidi, gidi, gidi wee Gidi-gidi, gidi Kwanza muone ampandwa na ibilisi Alikaa pembeni hivi sasa ameingia kati Ona mwili mkubwa kumbe kibonge mwepesi Kulia kushoto, dunda kama kitenesi Twende sasa Gidi, gidi, gidi Gidi-gidi, gidi Twende gidi-gidi, gidi, gidhi wee Gidi-gidi, gidi Aii, Hapo kwanza ncheke [D Voice] Oya we We hili goma noma kwani amelipiga nani Mana wanafanya wanangu kama wamepandwa shetani We hili goma noma kwani amelipiga nani Maana wanavua mashati kwenye miti wanachuma majani Oya wanachuma majani Wanaleta majani Mama wanachuma majani Wanaletya majani oyaa [Outro : D Voice] Diblo Nipenipe Nipe tena Diblo Nipenipe Nipe tena
Read the complete lyrics to "Hujanizidi" by Zuchu from the album "Peace And Money" in 2024. On Lyrks you can follow along with the full text, explore the artist's discography, and discover related songs. The track is often categorized under Swahili, Bongo Flava, Tanzania.
"Hujanizidi" is performed by Zuchu. from the album "Peace And Money" in 2024 This page provides the full lyric text for fans who want to sing along, study the songwriting, or compare versions across releases. Lyrks organizes lyrics by artist and song slug so you can bookmark and share a stable URL.
Music lyrics help listeners connect with emotion, narrative, and rhythm in a track. Whether you are learning English, researching a favorite chorus, or preparing for karaoke, having accurate line breaks and section labels (verse, chorus, bridge) makes the experience easier. We link to the official artist profile on Lyrks where available, including biography snippets, top songs, and chart placements when we have that data.
If you enjoy "Hujanizidi", explore more songs by Zuchu using the links below. Chart and trending pages on Lyrks highlight what listeners are searching for this week. For copyright or correction requests, see our DMCA and contact pages.
"Hujanizidi" is credited to Zuchu. Songwriting credits may include additional writers listed on the release; check the credits section on this page for linked collaborators.
"Hujanizidi" appears on "Peace And Money" in 2024.
Visit the Zuchu artist page at /artist/zuchu for biography, popular tracks, and links to more lyric pages.