Lyrks
Lyrks
Sign In
Cover Art

Fungua Lyrics by Rapcha

To The Top Vol.2

2023

Oya mwanangu vipi?

99 mwanangu

Mbona kinyonge?

Ahhh hamna ishu wala nini

Ndo shida hiyo ya kubetia team msizozijua hahah

Ahh sio kubet

Najua babu

Ila umekaa kimya kinoma nini shida mwanangu ni kweli..!!

We acha tu mwanangu si unamuelewa huyu shemeji yako jinsi ambavyo nna mkubali

Aah naelewa

Halafu kuna miyeyusho flani anakua ananiletea ambayo sio

Yani kama hivi kuna story ambazo mi nakua nazisikia halafu nikitaka kumwambia yani koo langu linakua kama kuna kitu kimenishikilia hapa nashindwa kuongea yani

Kwasababu najua nikimgusa tu hivi kidogo anakasirika anakuja juu ila nataka kinoma kumchana sa sjui tu naanzia wapi mwanangu

Aaah Kwahiyo tatizo ndio hilo?

Ndio hivyo mwanangu

Chukua kwanza kitu hichi

Au sio

Piga mbili ukimaliza hicho mwanangu utakua na nguvu ya kumchana mbona suala dogo

Kula kitu maliza mchane

Uhakika??

Imeisha hiyo baba

Mmmh naam naam

Uuuu chapa chapa chapa yeah yeah ye ye yeee

Mambo mengine mambo madogo mwanangu anakua anawaza

Cough!! Mwanangu hiki kama chenye

Msumbiji hiyo baba

Sasa mwanangu

Oi oi oi

Hebu Ngoja mi nicheze (mara moja hii umemaliza kitu??)

Ngoja Nimkute huko huko aliko nikamuanzishie kama vipi

Aina noma simu zilie mzee simu zilie babaaa

Door bell rings

Hizi kengele huyu anahisi nacheza nini?


Fungua inamaana huskii hii kengеle au utaka nije tu kukulabua

Kama mnafichana ndani ya makabati leo nitawasha moto hii nyumba ndo mtanitambua

Skia еm fungua usitake nijaze watu waje waokote tu vipande maana watakuta nishakupasua

Sasa basi napiga kengele mara ya mwisho na navunja kama hutaki kufungua

Oya em Fungua ushaniweka zaidi ya nusu saa nakubishia hodi hutaki kufungua

Ila Hawa kenge wanaokufata sehemu nayolipa kodi wakigonga mlango na miguu unafungua

Sasa Kabla sijapita na huu mlango mpaka ndani na kutibu jeuri yako nitapokubutua

Ngoja nahesabu moja mpaka tatu nauvunja maana nishagonga sana hadi vidole vimeungua

Majirani wananambia kuna njemba napishana nazo sana zinaingia mi nikiwa sipo

Na ndio maana unanambia nikitaka kuja niwe nakupigia leo nimetimba bila info


Hivi kitu gani nitakupa we mwanamke ukatulia

Ukatuliza na roho yangu ikatulia

Nshakuambia mara ngapi hujasikia

Na nazidi kurudia sasa leo utajutia nakuapia

Juzi juzi niliona tu umeshare snapchat uko level one na pembeni yako kuna mchizi

Nikadaka boda nikufate nafika sijakuona nikaambiwa kuwa ushasepa the deez

Najitahidi nisikuchunguze ila story zinanifikia na kiukweli zinanipa uchizi

Picha zako zote ndani ya gari tofauti unabadili tu mikao huku unachezea keys

Kuleta rafiki zako wa kiume kwenye nyumba niliyokupangia kwanza nshakupiga marufuku

Wanajiachia sebleni na vipensi wanacheza na rimoti kama wanachangia luku

Na hawatosheki na chakula unachowapikia maana wanakula mpaka yule anaewapikia

Navyogaramia na mateso unayonipatia hii nyumba mara mia nifugie kuku (kwenda)

Staki hizi mbichi ooh naah

Ukakasi mwingi staki staki staki hili bichi ooh naah

Kukupenda staki hii ni homa

Nimekoma tena staki staki hii sonona, noma

Kuna namba umeisave Daddy kwenye simu yako

Nimeshtuka hata kumbe huyo sio babaako

Unajifanya huna makuu bonge la pretender

Kuna story nimeskia sikuhizi we ni blender

Fungua, kabla sijasema vyote fasta fasta

Fungua, lazima nitapata kesi navunja kitasa

Fungua, staki ufala leo utapata unachokitaka

Fungua, mapenzi nikache staki, bomboclat!!!

Kabla sijakuacha nitakufunza adabu bwana utaempata huko atakuta umeshashika adabu

Hizi tabu juu ya tabu nimeshindwa ustaarabu

Kama Ndoa nishatoa kwenye hesabu ushanikata vibe

[Nkunda star]

Speaking venacular

Heee bhagosha

Sasa unamgongea nani sasa hapo wewe?

Una… yaa yani mi nimelala nasikia tu makelele unamgonga.. unagonga.. unamgongea nani sasa?

Hapo si nyumbani kwako wewe hapo?

Unalala na nani hapo? Humo sijawahi kuona hata umeleta ka demu mdomo wenyewe zege huo

Aisee hii mihadarati hii

Bora Serikali iendelee kukomesha hii mihadarati

Na iendelee kuzuiliwa hivi hivi kwanini sasa mtu unagonga mlango wako halafu unasema mtu akufungulie

Hebu ingia ndani ulale huko

Unatuchanganya watu tumelala bwana

Eee hii imeingia hii
Credits

About “Fungua” by Rapcha

Read the complete lyrics to "Fungua" by Rapcha from the album "To The Top Vol.2" in 2023. On Lyrks you can follow along with the full text, explore the artist's discography, and discover related songs. The track is often categorized under Rap.

"Fungua" is performed by Rapcha. from the album "To The Top Vol.2" in 2023 This page provides the full lyric text for fans who want to sing along, study the songwriting, or compare versions across releases. Lyrks organizes lyrics by artist and song slug so you can bookmark and share a stable URL. Music lyrics help listeners connect with emotion, narrative, and rhythm in a track. Whether you are learning English, researching a favorite chorus, or preparing for karaoke, having accurate line breaks and section labels (verse, chorus, bridge) makes the experience easier. We link to the official artist profile on Lyrks where available, including biography snippets, top songs, and chart placements when we have that data. If you enjoy "Fungua", explore more songs by Rapcha using the links below. Chart and trending pages on Lyrks highlight what listeners are searching for this week. For copyright or correction requests, see our DMCA and contact pages.

View all songs and biography for Rapcha · Trending lyrics · Billboard Hot 100

Frequently asked questions

"Fungua" is credited to Rapcha. Songwriting credits may include additional writers listed on the release; check the credits section on this page for linked collaborators.

"Fungua" appears on "To The Top Vol.2" in 2023.

Visit the Rapcha artist page at /artist/rapcha for biography, popular tracks, and links to more lyric pages.


Lyrks
Lyrks

Your gateway to the world of music lyrics.

Product

Features


© 2026 Lyrks. All rights reserved.