Lyrks
Lyrks
Lyrks
Cover Art

Chai Lyrics by TMK Wanaume Family

Ndio Zetu

0

Chorus:
Si ulitaka chai, chai
Iweje ulalamike una ungua?
Kuwa mwangalifu, msikivu, mwerevu
Ukipenda sana ngono, itakuua...
Si ulitaka Isshh...haaa!
Iweje ulalamike una ungua?
Kuwa mwangalifu, msikivu, mwerevu
Ukipenda sana ngono, itakuua...
Verse 1:
Umepata chai, halafu unalalamika ya moto
Wakati mwenyewe...
Umenunua kwa (?)
Unalalamika nini? wakati kila siku ulikuwa una ona matangazo kwenye "screen" ya "tea" kwenye T.V
Chai ina babua' makini usipokuwa
Ati! unakunywa, tukutukutuku...! (bila...!) bila kupooza
Una tegemea nini' kama sio cha kupunguza
(?)
Sana sana sehemu za baridi, tuwe' makini' ikibidi
Najua utataka blanket na shuka' wacha kukurupuka ah
Mapenzi haramu haramu' mwisho wake futi sita shimoni. aight!
Luteni (?)
"Ni Home Boyz Produkshizoo... ndani ya muunganiko na watoto wa Pwani, Majani kutoka T.M.K." Anhaa!
( Check it out )
Chorus:
Si ulitaka chai, chai
Iweje ulalamike una ungua?
Kuwa mwangalifu, msikivu, mwerevu
Ukipenda sana ngono, itakuua...
Si ulitaka Isshh...haaa!
Iwеje ulalamike una ungua?
Kuwa mwangalifu, msikivu, mwerеvu
Ukipenda sana ngono, itakuua...
Verse 2:
Ulimwona anafaa, ukamwita kifaa (Enhee!)
Sasa ndugu yangu wewe, ushau pakaa (Ayaa!)
Kwani hukujua kwamba dunia ni hadaa, na ulimwengu ni shujaa?
Oh Mara unalalamika washikaji wana ni nyanyapa (Aaaah!)
Si kama nakusema...sababu washikaji walisha kuambia toka mapema...(Ndio ndio)
Kwamba dunia kaka' haiendi hivyo' ipo siku utajitafutia matatizo (Sanaa...)
Haya sasa, miwaya sasa
Ona unavyokuwa marehemu mtarajiwa sasa (Ayaah!)
Sebastian Ndege unajitahidi sana...wenzio masikio wametia pamba (Kweli)
Wanaona ni hadithi tu wanayopewa na God Mwalusamba
Wanatupa (?) wanakwenda kwenda (?)
Yaani wanavyo fanya
Utasema kondomu hakuna! (Ayaa...)
Chorus:
Si ulitaka chai, chai
Iweje ulalamike una ungua?
Kuwa mwangalifu, msikivu, mwerevu
Ukipenda sana ngono, itakuua...
Si ulitaka Isshh...haaa!
Iweje ulalamike una ungua?
Kuwa mwangalifu, msikivu, mwerevu
Ukipenda sana ngono, itakuua...
Verse 3:
Anaonekana anabisha' wakati vipimo vilisha tuonesha
Na baadhi ya ndugu zao walisha hakikisha
Kila ukimtizama' ana sikitisha
(?) alicho nacho sasa kimekwisha
Miwaya imesha mu (?) wadudu washapenya
Zake ni kupiga chai kavu, ushauri wa madaktari aliona kama upumbavu
Alisha gawa sotojo kwa watoto wadogo na kina baba' watu wazima
(?) inatapakaa mwili mzima...!
Chorus:
Si ulitaka chai, chai
Iweje ulalamike una ungua?
Kuwa mwangalifu, msikivu, mwerevu
Ukipenda sana ngono, itakuua...
Si ulitaka Isshh...haaa!
Iweje ulalamike una ungua?
Kuwa mwangalifu, msikivu, mwerevu
Ukipenda sana ngono, itakuua...
Verse 4:
Ai! ai!
Kweli chai inachoma hii bwana, kweli ina moto, puliza!
(Pff! pff!)
Usi ifakamie vibaya,uje uungue, Yalaaa...!
(Usi ifakamie vibaya, uje uungue, Yalaaa...!)
Usijifanye unafahamu sana, eti kuwa ni tamu tamu tamu tamu mpaka kichogoni
Najua huwezi kuniita mimi' kama huna ulimi
Ukae ukijua ukiwa na ukimwi ni sawa na jini' ndo maana hujificha mwilini
Ushangai kwanini utuue wewe na mimi (Ndio!)
Mgonjwa hakatai dawa, akikataa ashaiandaa kaburi
Pombe haipunguzi mawazo, siku zote huwaga ndo chanzo
Starehe ni mtego wa shetani ameutega duniani (Ndio!)
Rafiki yangu Josefu analalamika eti amelogwa' kulogwa gani, unakonda, mwili unatoka vidonda...hiyo bwana itakuwa ni ngoma
Nshangaza (?) na ndo maana naogopa kufanya
Kulewa lewa nyaka nyaka
Kuchinja (?) ovyo kwenye vichaka
Dunia inachoma moto, inachoma, inachoma, inachoma, inachoma, inachoma, kweli inachoma moto
Wazazi, watoto muwa kanye, na nyie pia msifanye Eeh!
Chorus:
Si ulitaka chai, chai
Iweje ulalamike una ungua?
Kuwa mwangalifu, msikivu, mwerevu
Ukipenda sana ngono, itakuua...
Si ulitaka Isshh...haaa!
Iweje ulalamike una ungua?
Kuwa mwangalifu, msikivu, mwerevu
Ukipenda sana ngono, itakuua...

About “Chai” by TMK Wanaume Family

Read the complete lyrics to "Chai" by TMK Wanaume Family from the album "Ndio Zetu". On Lyrks you can follow along with the full text, explore the artist's discography, and discover related songs. The track is often categorized under Tanzania, Bongo Flava, Rap.

"Chai" is performed by TMK Wanaume Family. from the album "Ndio Zetu" This page provides the full lyric text for fans who want to sing along, study the songwriting, or compare versions across releases. Lyrks organizes lyrics by artist and song slug so you can bookmark and share a stable URL. Music lyrics help listeners connect with emotion, narrative, and rhythm in a track. Whether you are learning English, researching a favorite chorus, or preparing for karaoke, having accurate line breaks and section labels (verse, chorus, bridge) makes the experience easier. We link to the official artist profile on Lyrks where available, including biography snippets, top songs, and chart placements when we have that data. If you enjoy "Chai", explore more songs by TMK Wanaume Family using the links below. Chart and trending pages on Lyrks highlight what listeners are searching for this week. For copyright or correction requests, see our DMCA and contact pages.

View all songs and biography for TMK Wanaume Family · Trending lyrics · Billboard Hot 100

Frequently asked questions

"Chai" is credited to TMK Wanaume Family. Songwriting credits may include additional writers listed on the release; check the credits section on this page for linked collaborators.

"Chai" appears on "Ndio Zetu".

Visit the TMK Wanaume Family artist page at /artist/tmk-wanaume-family for biography, popular tracks, and links to more lyric pages.